Back to home

Bomet: Mahakama yaanza rasmi kusikiza kesi kuhusiana na kifo cha mtoto Diana Ruth Chepngeno

video
June 4, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mahakama kuu mjini Bomet imeanza rasmi kusikiliza kesi iliyowasilishwa dhidi ya serikali ya kaunti ya Bomet na hospitali ya rufaa ya kaunti ya Longisa kuhusiana na madai ya uzembe wa kitabibu uliosababisha kifo cha kusikitisha cha Diana Ruth Chepngeno mtoto wa umri wa miaka mitat..