Back to home

Galole: Utulivu warejea baada ya maandamano dhidi ya tangazo la serikali kutenga maeneo ya usalama

video
June 3, 2025
4 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Hali ya utulivu imerejea katika Eneo Bunge la Galole,Kaunti ya Tana River siku chache tu baada ya wakazi kuandamana kupinga tangazo la gazeti rasmi la serikali lililotolewa tarehe 16 Mei 2025 na Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen. Tangazo hilo lilitaja maeneo matatu y..