Back to homeWatch Original
Galole: Utulivu warejea baada ya maandamano dhidi ya tangazo la serikali kutenga maeneo ya usalama
video
June 3, 2025
4 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Hali ya utulivu imerejea katika Eneo Bunge la Galole,Kaunti ya Tana River siku chache tu baada ya wakazi kuandamana kupinga tangazo la gazeti rasmi la serikali lililotolewa tarehe 16 Mei 2025 na Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen. Tangazo hilo lilitaja maeneo matatu y..