Back to home

Familia ya Albert Ojwang yalilia haki baada ya kifo chake akiwa korokoroni

video
June 8, 2025
14 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia ya Albert Omondi Ojwang sasa inataka haki itendeke kwa mpendwa wao ambaye amefariki akiwa korokoroni saa chache baada ya kukamatwa na makachero wa DCI Homa Bay na kusafirishwa hadi Nairobi. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the..