Back to home

Familia yadai haki baada ya kijana kupigwa risasi Nanyuki

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 11, 2026
2h ago
Familia moja kutoka Nanyuki sasa inadai haki baada ya jamaa yao kupigwa risasi Jumanne wakati wa maandamano ya kupinga ujezi wa kituo cha karantini cha ebola. Sylvester Muigai, mwenye miaka kumi na saba alipigwa risasi kichwani alipokuwa akishiriki maandamano hayo. Na kama anavyo
Advertisement