Back to home

Familia moja Kilifi inadai haki kufuatia kuuwawa kwa mwanao

video
June 11, 2025
15 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia moja Kilifi inadai haki baada ya mpendwa wao kuuwawa kwa kudungwa kisu kwenye koo na jamaa anayemfahamu. Kulingana na familia. Familia ya Farida Kadzo Changawa inataka maafisa wa polisi kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha mshukiwa kumndunga kisu. Shirika la Inter..