Familia ya kijana aliyeuawa kwa kupigwa risasi eneo la Mwiki, Kasarani yadai haki
About this video
Huzuni na hasira zimetanda eneo la mwiki, Nairobi baada ya kijana wa miaka 19 kupigwa risasi na kuuawa Ijumaa jioni. Wakaazi wanadai alipigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano ya kutafuta haki kwa Abigael Wanjiku, msichana wa miaka 18 aliyebakwa na kuuawa Alhamisi. J..