Back to home

Waziri Ruku: Serikali iko tayari kusaidia waathiriwa wa moto Kibra

video
June 13, 2025
18 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waziri wa utumishi wa umma, Geoffrey Ruku, amewahakikishia wakazi wa mukungu katika mtaa wa Kibra na wa soko la Kimana, Kajiado Kusini, kuwa serikali iko tayari kuwasaidia kufuatia moto mkubwa uliowaacha mamia ya watu bila makazi katika maeneo yote mawili. Subscribe to NTV Kenya..

Waziri Ruku: Serikali iko tayari kusaidia waathiriwa wa moto Kibra (Video)