Mkuu wa kituo cha polisi Central Samson Talaam afikishwa mahakamani
About this video
Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Central Samson Taalam atasalia korokoroni kwa siku mbili zaidi hadi siku ya Jumatano wakati mahakama kuu itaamua iwapo atazuiliwa kwa siku 21 zaidi. Wakati huo huo, washukiwa wengine watatu waliofikishwa mahakamani watasalia ndani kwa siku 14 hadi pal..