Back to home

Mtu mmoja apigwa risasi na afisa wa polisi Nairobi

video
June 17, 2025
13 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa wa polisi wanasalia kwenye darubini baada ya afisa mmoja kumpiga risasi mchuuzi mmoja peupe hadharani wakati wa maandamano ya kudai haki ya mwanablogu aliyeuawa Albert Ojwang. Kwenye tukio hilo, afisa wa polisi alimlenga mchuuzi huyo aliyekuwa akiuza maski kabla ya kumlen..

Mtu mmoja apigwa risasi na afisa wa polisi Nairobi (Video)