Back to homeWatch Original
Idara ya polisi imeagiza kukamatwa kwa afisa wa polisi aliyempiga risasi mchuuzi wa maski Nairobi
video
June 17, 2025
13 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Idara ya polisi imeagiza kukamatwa kwa afisa wa polisi aliyempiga risasi mchuuzi wa maski katikati mwa jiji la nairobi. Taarifa kutoka idara ya polisi ikisema kuwa, imeghadhabishwa na tukio hilo la kupigwa risasi kwa raia ambaye hakuwa amejihami. Aidha taarifa hiyo ya punde zaidi..