Back to home

Idara ya polisi imeagiza kukamatwa kwa afisa wa polisi aliyempiga risasi mchuuzi wa maski Nairobi

video
June 17, 2025
13 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Idara ya polisi imeagiza kukamatwa kwa afisa wa polisi aliyempiga risasi mchuuzi wa maski katikati mwa jiji la nairobi. Taarifa kutoka idara ya polisi ikisema kuwa, imeghadhabishwa na tukio hilo la kupigwa risasi kwa raia ambaye hakuwa amejihami. Aidha taarifa hiyo ya punde zaidi..