Back to home

Polisi walionaswa wakimpiga risasi wafika kizimbani

video
June 19, 2025
11 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa wawili wa polisi waliohusishwa na kisa cha kupigwa risasi kwa mchuuzi wa maski siku ya jumanne jijini Nairobi wataendelea kuzuiliwa kwa siku 15 zaidi. Maafisa hao wa polisi Klinzy Masinde Barasa na Duncan Kiprono wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Capitol Hill baada ..