Back to homeWatch Original
Polisi walionaswa wakimpiga risasi wafika kizimbani
video
June 19, 2025
11 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Maafisa wawili wa polisi waliohusishwa na kisa cha kupigwa risasi kwa mchuuzi wa maski siku ya jumanne jijini Nairobi wataendelea kuzuiliwa kwa siku 15 zaidi. Maafisa hao wa polisi Klinzy Masinde Barasa na Duncan Kiprono wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Capitol Hill baada ..