Back to homeWatch Original
Polisi waliompiga mchuuzi risasi hapo jana wasimamishwa kazi
video
June 18, 2025
13 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Maafisa wawili wa polisi Klinzy Barasa Masinde na Duncan Kiprono wamesimamishwa kazi kwa kuhusishwa na kisa cha kudhulumiwa na kupigwa risasi kwa mchuuzi wa maski Boniface Mwangi Kariuki hapo jana. Barasa na kiprono walikamatwa na wanatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho...