Back to homeWatch Original
Viongozi wa kanisa katoliki wataka maridhiano Nchini
video
June 23, 2025
about 6 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Haya yakijiri, Kanisa katoliki nchini limeitaka serikali na vijana kuridhiana, ili kuepuka mfarakano zaidi nchini. Maaskofu wakuu wa kanisa katoliki Anthony Muheria wa Nyeri na Philip Anyolo wa dayosisi ya Nairobi pia wakiitaka serikali kuhakikisha wanaothirika kwenye dhulma za m..