Back to home

Watangazaji wa BaharI Fm waungana na wajane kaloleni

video
June 24, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Bahari fm iliungana na maelfu ya wajane katika kusherehekea sikukuu ya wajane ulimwenguni katika eneo la kaloleni kaunti ya kilifi. Hafla ambayo iliwaleta viongozi kutoka Nyanja mbali mbali nchini akiwemo mbunge wa rarieda Otiende Amollo ambaye amekuwa katika mstari wa mbele kati..