Back to home

Mwanablogu Ndiangui Kinyagia atekwa nyara

video
June 24, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia moja eneo la kitengela jioni hii inamtafuta mwana wao, mwanablogu ndiangui kinyagia aliyetoweka baada ya maafisa wa upelelezi kudaiwa kumchukua nyumbani kwake jumamosi. Kwenye tukio hili, maafisa hao wanaripotiwa kuchukua vipakatalishi, simu na pasipoti zake. Familia inas..