Maandamano Eldoret: Mapambano makali kati ya polisi na waandamanaji yashuhudiwa
About this video
Katika jiji la Eldoret kumekua na vuta nkuvute baina ya vijana na polisi ambao kwa siku nzima wamekuwa wakijaribu kuingia katikati mwa jiji kuendeleza maandamano yao. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussion..