Back to home

Amin: watu 485 walikamatwa wakati wa maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 1, 2025
11mo ago
Mkurugenzi mkuu wa Idara ya Upelelezi Mohammed Amin amesema idara hiyo haimtafuti aliyekuwa naibu rais rigathi gachagua, kufuatia machafuko yaliyoshuhudiwa wakati wa maandamano ya gen z jumatano iliyopita.
Advertisement