Back to homeWatch Original
Inspekta jenerali akosa kufika mahakamani kama alivyoagizwa
video
July 1, 2025
about 15 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Maafisa wa upelelezi DCI wameiambia mahakama kuwa hawakumkamata mwanablogu Ndiang'ui Kinyagia. kwenye kesi ambapo inspekta jenerali wa polisi douglas kanja alitakiwa kuhudhuria kama alivyoagizwa ili kueleza aliko ndiang'ui, maafisa wa DCI wanasema kuwa wanamtafuta mshukiwa huyo w..