Back to home
Mwenyekiti amkashifu Gachagua kwa madai ya kueneza chuki
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2025
11mo ago
Mwenyekiti wa Kitaifa wa Baraza la jamii ya MAA , Kelena Ole Choe, amekashifu matamshi ya viongozi wa upinzani siku tatu zilizopita mjini Narok akidai aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua anachochea wakazi
Advertisement
Advertisement





