Back to home

Wanataaluma wenye biashara za kibinafsi kutozwa ushuru

video
July 2, 2025
about 20 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kuanzia Julai mosi, serikali ya kaunti ya nyeri itaanza kuwatoza ushuru wataalamu kama vile madaktari na mawakili wanaoendesha biashara zao binafsi, ili kuifadhili ipasavyo bajeti ya kaunti hio ya kima cha shilingi bilioni 8.5 ndani ya mwaka wa kifedha wa 2025/2026..