Rais Ruto ayataka mataifa yaliyostawi kuwekeza Afrika
About this video
Rais William Ruto ameyataka mataifa yaliyoimarika kiuchumi duniani kulitizama bara la Afrika kama uwanja mkubwa wanaoweza kuwekeza, ili kusaidia kuboresha maisha ya zaidi ya watu bilioni 1.5, kupitia mali yake ghafi ya madini. Rais aliyezungumza kwenye mdahalo wa Afrika jijini Lo..