Back to home
Wanaharakati katika kaunti ya Makueni wataka wabunge kutupilia mbali mswada wa Esther Passaris
video
C
Citizen TV (Youtube)July 4, 2025
11mo ago
Wanaharakati kaunti ya Makueni wamewataka wabunge kutupilia mbali msawada unaopendekezwa na mwakilishi wa kike wa kaunti ya Nairobi Esther Pasaris wa kudhibiti maandamano.
Advertisement
Advertisement




