Back to home

Wanafunzi UoN watishia maandamano kutokana na madai ya mwanafunzi mwenzao kupigwa risasi na polisi

video
July 8, 2025
3w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi wametishia kufanya mandamano kutokana na madai ya polisi kumpiga risasi na kumjeruhi mguuni mwanafunzi mwenzao Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discuss..