Back to home
Wahanga wa machafuko ya Kiambaa wahimiza amani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 9, 2025
1y ago
Jina kiambaa linapotajwa katika kaunti ya Uasin Gishu huwakumbusha wengi waathiriwa walioteketea na kuaga dunia kwenye machafuko ya uchaguzi mwaka 2007/2008 baada ya kanisa kuchomwa.
Advertisement
Advertisement



