Back to homeWatch Original
Rais William Ruto adai kuwa maandamano ni jaribu la kupundua serikali
video
July 9, 2025
3w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Rais William Ruto sasa anasema maandamano ya Sabasaba yalikuwa majaribio ya kuipindua serikali yake, akisema wote waliohusika kuwachochea waandamanaji watakamatwa na kufungwa. Akizungumza hapa Nairobi, Rais Ruto ametoa amri kwa maafisa wa polisi kuwapiga risasi wahuni ambao watah..