Back to home
Serikali imefunga viwanda vya sukari magharibi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 10, 2025
1y ago
Serikali imefunga kwa muda viwanda vya sukari katika eneo la magharibi kufuatia uhaba wa miwa. katika juhudi za kuhakikisha ustawi wa sekta ya sukari nchini, serikali imetangaza kuwa viwanda vilivyoko eneo la magharibi vitafungwa kwa miezi mitatu kuanzia Julai tarehe 11 mwaka huu
Advertisement
Advertisement





