Back to homeWatch Original
PS Bitok atoa wito wa kukamatwa & kufunguliwa mashtaka kwa mwalimu wa Alliance Girls Peter Ayiro
video
July 10, 2025
7 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Katibu mkuu wa elimu ya msingi Julius Bitok ametoa wito wa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa mwalimu wa Shule ya Wasichana ya Alliance, Peter Ayiro, anayetuhumiwa kwa kushiriki katika mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan n..