Back to home
Mashirika ya kutetea haki yamkosoa Rais Ruto
video
C
Citizen TV (Youtube)July 11, 2025
1y ago
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu mjini Mombasa inaitaka serikali kutafuta suluhu kuhusu malalamishi ya vijana badala ya kutumia vitisho. Wakizungumza huko Mombasa, wanaharakati hao wamelaani amri iliotolewa na Rais William Ruto na kuungwa mkono na Mbunge wa Belgut Nelson K
Advertisement
Advertisement




