Back to home
Mamlaka ya IPOA yakana kumuondolea lawama naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat
video
C
Citizen TV (Youtube)July 14, 2025
10mo ago
Mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa Polisi IPOA, imekana kumuondolea lawama naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat, kuhusu mauaji ya Albert Ojwang'. Taarifa ya IPOA ikifuatia ripoti za kurejea ofisini kwa Lagat. Haya yanajiri huku mahakama kuu ikidinda kutoa amri ya kumzui
Advertisement
Advertisement









