Back to home

Maafisa tabibu walalamikia kudorora kwa afya Nairobi

video
July 14, 2025
8 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa tabibu kaunti ya Nairobi wametangaza maandamano Jumatano hii kulalamikia kile wanachosema ni kuzorota kwa huduma za afya. Maafisa hawa wa afya wakimlaumu Gavana Johnson Sakaja kwa kutojali licha ya mzozo kuendelea kwa muda sasa. Muungano ukisema maandamano ya jumatano ni ..