Back to homeWatch Original
Vijana wawili wauwawa kwa risasi kwenye maandamano
video
July 18, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Ripoti za upasuaji wa maiti ya vijana wawili waliouwawa kwenye maandamano katika kaunti za Kirinyaga na Nyandarua zimebaini kuwa walifariki kutokana na majeraha ya risasi. Peter Macharia na Edwin Murimi walipigwa risasi kichwani na kufariki baada ya kufuja damu nyingi. Haya ni hu..