Back to home

Gavana wa Kwale Achani asema sheria ya biashara itainua wazabuni

video
July 25, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Gavana wa Kwale Fatuma Achani amesema kuwa sheria ya biashara ya kaunti inalenga kuinua wazabuni wa ndani, hususan wanawake na vijana wasiokuwa na mitaji mikubwa, kwa kuwapa mikopo kupitia hazina ya Biashara Revolving Fund ili waweze kutekeleza kandarasi wanazopewa..