Back to home

Waziri wa Elimu Migos Ogamba asema hakuna pesa za kutosha kwa Elimu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 25, 2025
3mo ago
Waziri wa Elimu Migos Ogamba sasa anasema kwamba Serikali haiwezi kuafikia kiwango kamili cha ruzuku iliyotengewa wanafunzi wa shule za upili kila mwaka kutokana na bajeti finyu kwa wizara hiyo akisema kwamba ni shillingi 16,900 pekee inaweza kuafikiwa. Ogamba amesema serikali ha

More on this topic

Educational Challenges and Government Response

Concerns over education funding, student admissions, and university staff layoffs amidst government denials.

4 stories in this topic
View Full Coverage