Back to home

Wanafunzi waongoza kampeni ya kupinga mihadarati Pwani

video
July 29, 2025
4d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Rais wa jumuiya ya wanafunzi wa Pwani David Mtsongori na mwenzake wa kilifi Kahindi James wamefichua kuwa asilimia kubwa ya vijana nchini ni waraibu wa mihadarati akisema kuwa wanashirikiana na mashirika ya kupambana na mihadarati ili kukomesha hali hiyo..