Back to home
Wanafunzi waongoza kampeni ya kupinga mihadarati Pwani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2025
11mo ago
Rais wa jumuiya ya wanafunzi wa Pwani David Mtsongori na mwenzake wa kilifi Kahindi James wamefichua kuwa asilimia kubwa ya vijana nchini ni waraibu wa mihadarati akisema kuwa wanashirikiana na mashirika ya kupambana na mihadarati ili kukomesha hali hiyo
Advertisement
Advertisement





