Back to home
Wamalwa adai njama ya mapinduzi chamani
video
C
Citizen TV (Youtube)August 1, 2025
7mo ago
Kulikuwa na hali tete leo katika makao makuu ya chama cha DAP-K hapa Nairobi, mgogoro wa uongozi wa chama hicho ukichipuka, huku wafuasi wa kinara wa chama hicho Eugene Wamalwa na wale wa naibu wake gavana george natembeya nusra wakabiliane
Advertisement
Advertisement




