Back to home
Upinzani wadai uchunguzi wa kina wa ajali ya ndege iliyouwa mbunge Ng’eno
video
C
Citizen TV (Youtube)March 1, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani sasa wanataka uchunguzi wa kina wa ajali ya ndege iliyosababisha vifo vya watu sita katika kaunti ya Nandi hapo jana, akiwemo mbunge wa Emurrua Dikirr Johanna Ng’eno.
Advertisement
Advertisement




