Back to homeWatch Original
Maandalizi ya lala salama kwa dimba la CHAN
video
August 2, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakenya wanasubiri kwa hamu kushabikia timu ya taifa Harambee Stars itakapoingia uwanjani kwa mechi ya kwanza ya dimba la CHAN katika uwanja wa kitaifa Kasarani, Nairobi. Aidha, matayarisho yamekamilika nchini kabla ya mechi za makundi na mchujo zitakazochezwa hapa nchini. Seth O..