Back to home

Sifuna:Niko tayari kujiondoa ODM iwapo chama kitamuunga mkono rais Ruto 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 3, 2025
3mo ago
Katibu Mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna sasa anasema yuko tayari kujiondoa kutoka chama hicho endapo kitakubali kuunga mkono kuchaguliwa tena kwa Rais William Ruto kama Rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Aidha ni msimamo ambao pia umetolewa na mbunge wa Saboti Caleb Amisi wakisema

More on this topic

ODM Members Threaten Exit Over Alliance with Kenya Kwanza - August 2025

Political tensions are escalating within the Orange Democratic Movement (ODM) party following a new agreement between ODM and Kenya Kwanza, causing ripples among party members. A number of ODM Members of Parliament are threatening to leave the party due to this alliance, signaling potential shifts in Kenya's political landscape. ODM Secretary General Edwin Sifuna has declared his readiness to leave the party if it chooses to support President William Ruto's re-election bid in the upcoming general election, further stating his refusal to endorse any ODM agreement supporting Ruto in 2027.

4 stories in this topic
View Full Coverage