Back to home

Sifuna:Niko tayari kujiondoa ODM iwapo chama kitamuunga mkono rais Ruto 2027

video
August 3, 2025
11h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katibu Mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna sasa anasema yuko tayari kujiondoa kutoka chama hicho endapo kitakubali kuunga mkono kuchaguliwa tena kwa Rais William Ruto kama Rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Aidha ni msimamo ambao pia umetolewa na mbunge wa Saboti Caleb Amisi wakisema..