Back to home

Familia za waliofariki kwenye ajali ya ndege zatambua maiti

video
August 8, 2025
5d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia za watu sita walioaga dunia baada ya ndege aina ya Cessna inayomilikiwa na shirika la AMREF kuanguka katika eneo la Mwihoko huko Githurai kaunti ya Kiambu wamefika makafani tofauti kutambua miili..