Back to homeWatch Original
KWS limeandaa kikao Makueni kwa lengo la kukusanya maoni kutoka kwa wananchi
video
August 8, 2025
4d ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Shirika la wanyamapori nchini (KWS) limeandaa kikao maalum katika mji wa Wote kwa lengo la kukusanya maoni kutoka kwa wananchi kuhusu pendekezo la kuongeza ushuru wa kuingia katika mbuga za wanyama nchini. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and every..