Back to home

Familia kadhaa zinaomboleza vifo vya wapendwa Wao

video
August 11, 2025
4d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Idadi ya watu waliofariki kufuatia ajali za barabarani imefikia watu 60, baada ya watu kumi zaidi kufariki kaunti za Makueni, Nakuru na Tana River..