Back to home

Tiketi za kielektroniki tu zitaruhusiwa Kasarani | Mashabiki watakiwa kufika saa 5 kabla ya mechi

video
August 12, 2025
20h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

SERIKALI SASA INAWATAKA MASHABIKI KUFIKA KATIKA UWANJA WA KASARANI TAKRIBAN SAA TANO KABLA YA MECHI KATI YA HARAMBEE STARS NA CHIPOLOPOLO KUTOKA ZAMBIA SIKU YA JUMAPILI. MWENYEKITI WA KAMATI ANDALIZI YA CHAN NCHINI NICHOLAS MUSONYE AMESEMA HATUA HIYO NI YA KUHAKISHA KUWA TARATIBU..