Back to home

Baraza la wazee wa jamii ya Pokomo wapinga kile wanachodai ni kuingiliwa kwa mikutano yao na polisi

video
August 14, 2025
5h ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Sehemu ya baraza la wazee wa jamii ya Pokomo wanaojitambulisha kama Masesa, yaani majaji wa kitamaduni, wamepinga vikali kile wanachodai ni kuingiliwa kwa mikutano yao ya kitamaduni na polisi. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Keny..