Back to home

Hospitali ya Nairobi yasitisha ada mpya za matibabu

video
August 15, 2025
6h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Hospitali ya Nairobi imetangaza kusitisha ada mpya iliyoanza kutekelezwa hivi majuzi kufuatia mashauriano na washirika wakuu wa bima ambao walikuwa wameondoa huduma zao katika hospitali hiyo.Hospitali ilifafanua kuwa ongezeko la asilimia 5 kwa baadhi ya huduma za matibabu lilikuw..