Back to home

Makovu ya Ajali

video
August 15, 2025
6h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Huzuni na majonzi zilishamiri kwenye makafani ya Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya Jaramogi Oginga Odinga, familia za watu 22 walipokezwa miili ya wapendwa wao ili kuisafirisha kwa mazishi. Watu hao ni kati ya 27 waliofariki kufuatia ajali katika barabara ya Kisumu kuelekea Kakame..