Back to homeWatch Original
Wanafunzi walalamika wanahangaika kulipia Masomo
video
August 18, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali nchini wameiomba serikali kuuangalia upya mfumo wa ufadhili wa wanafunzi wa vyuo vikuu, wakisema una changamoto nyingi na unawanyanyasa wanafunzi kutoka jamii maskini..