Back to home
Mawakili 30 wataka hakimu mkuu kuhamishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)August 20, 2025
3w ago
Shughuli katika mahakama ya Busia zinaendelea kutatizika kwa siku ya tatu hii leo baada ya baadhi ya mawakili wanaohudumu mahakamani kususia vikao vya kusikizwa kwa kesi katika mahakama inayoongozwa na hakimu mkuu edna nyaloti.