Back to home

Wamiliki wa magari wataka hatua kuchukuliwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 10, 2025
5h ago
Wamiliki wa magari ya uchukuzi wameitaka Idara ya polisi kuwachukulia hatua thabiti wahudumu wa bodaboda ambao wanaendeleza tabia za kihuni na uhalifu kwa kuwashambulia madereva na kuchoma magari wakati ajali inapotokea. Kauli hii imetolewa baada ya zaidi ya magari matatu kuchomw