Back to home

Makaburi zaidi yafukuliwa Kwa Binzaro Kilifi

video
August 22, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Miili minne zaidi imefukuliwa katika eneo la Kwa Binzaro kaunti ya Kilifi. Kufikia sasa, jumla ya maiti 9 waliokuwa wamezikwa bila nguo wamefukuliwa. Zoezi hilo litaendelea wiki ijayo huku wapelelezi wakipania kufukua takriban makaburi 27..