Back to home

Serikali inasema kila kitu kiko tayari

video
August 28, 2025
5h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali iko tayari kwa mpito wa sekondari ya juu , haya ni kwa mujibu wa waziri wa elimu Julius Migos Ogamba .Akizungumza katika chuo kikuu cha Embu, waziri Migos amesema kuwa mikakati imewekwa kuhakikisha kuwa wanafunzi watakaojiunga na gredi ya kumi Januari mwaka ujao hawakosi..